#HABARI YA KITAIFA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Dkt. Samia Suluhu Hassan Kupitia chama cha CCM, ameeleza kuwa vituo vya afya, hospitali za wilaya na rufaa tayari zimejengwa na kuwekewa vifaa vinavyohitajika na hivyo kuboresha huduma za afya nchini.

0 Comments