UNGUJA
Taasisi ya Tunaweza Arts Group leo yatembelea kikundi cha Sanaa ya uigizaji kiliopo Fuoni Birikani Unguja, kwa lengo la kuhamasisha Wasanii kutokata tamaa na kuamini sanaa ni kazi kama kazi nyengine.
Akizungumza katibu wa Taasisi ya Tunaweza, ndugu Abrahmani moh'd suleiman Akisema; Inapaswa wasanii kujuwa ndoto zao katika Uigizaji ili kuweza kufanikiwa kwa haraka katika Sanaa zao.

0 Comments