MAFUNZO YA COMEDY
1) Unapotembea Majiani Tunapaswa Tuwemakini kwasababu majiani kunamambo mengi.
2) Ukizarau familia ya kwenu yatakukuta makubwa na utajuta kuzaliwa na kuja duniani.
3) Utapeli haufai katika maisha ya mwanaadamu na kuibukia kuzalilika.
Kama wewe ni Mdau wa TUNAWEZA ARTS GROUP Tunaomba utusapoti Filamu hii ifike kwa watu mbali mbali ili wajifunze zaidi kupitia Video hii .
AHSANTE.
0 Comments