Wasanii wa Taasisi ya TUNAWEZA ARTS GROUP Isha one na Babi wakiburudisha katika kampeni ya chama cha mapinduzi (CCM) leo tarehe 27-09-2025, Unguja.
Kama wewe ni mwanachama unayetupenda na kutufatilia tunaomba sambaza link zetu na kusabucribe tavuti zetu .
Sisi tupo wa lengo la Kukuhabarisha na kukuburudisha juu ya kila kinachofanyika katika ulimwengu wetu.

0 Comments